Kiswahili hariri

Nomino hariri

usanifu

  1. Sanaa ya kujenga, kupanga na kupamba majengo.
  2. Mpangilio na utaratibu wa jengo.
  3. (Kwa ugani) Dhana ya kazi yoyote ya binadamu yenye sifa changamano ya kuelewa.
  4. (Maana ya Kielezi) Namna jambo linavyopangwa

Tafsiri hariri