udhibiti wa kibiolojia
Kiswahili
haririNomino
haririudhibiti wa kibiolojia (udhibiti wa kibiolojia)
- ni mbinu ya kudhibiti wadudu, magonjwa, na mazao hatarishi kwa kutumia mbinu za asili au kibaiolojia badala ya kemikali au dawa za viwandani.
Tafsiri
hariri- Kiingereza : biological control (en)