Ritifaa ni nomino.

Wingi wa ritifaa ni ritifaa.

Neno ritifaa liko katika ngeli ya i-/zi-.

Neno ritifaa limetokana na Kiarabu.

Maana ya kwanza ya ritifaa ni apostrofi.

Maana ya pili ya ritifaa ni usemi ambao mtu anaongea mawazoni na kitu kisichokuwepo katika fasihi.

Apostrofi ni nomino.

Wingi wa apostrofi ni apostrofi.

Apostrofi iko katika ngeli ya i-/zi-.

Apostrofi imetokana na Kiingereza.

Apostrofi ni alama ya kung'ong'ea. Kwa mfano: ng'ombe.

Matumizi ya ritifaa/kibainishi/apostrofi. 1. Kuonyesha tarakimu ambayo haijaandikwa. Kwa mfano: '14-'18. 2. Kuandika kwa kifupi. Kwa mfano: n'shaenda(nimeshaenda). 3. Kutofautisha sauti /ng'/ na /ng/. Yaani kung'ong'ea. mfano: ng'ombe.