Kiswahili

hariri
  1. pinduliw.a kt [sie] 1 kupinduliwa au kuondolewa madarakani: Serikali ime~.
  2. 2 (sio rasmi) kuchukua mume au mke wa mtu. "Ndoa yake imepinduliwa."

Tafsiri

hariri
  Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.