Kiswahili

hariri

Nomino

hariri

Kiswahili

  1. Feri - chombo cha usafiri wa maji ambacho hutumika kuvusha watu, magari, na mizigo kutoka upande mmoja wa maji hadi mwingine. Zaidi hutumika hasa katika maeneo yenye mito, maziwa, au bahari.

Mifano ya matumizi

hariri
  • "Tulivuka mto kwa kutumia pantoni."
  • "Pantoni ilijaa watu na magari."

Etimolojia

hariri

Neno hili linatokana na neno la Kiingereza "pontoon" ambalo lina maana ya chombo kinachoelea juu ya maji kinachotumika kama daraja au kivuko.