pantoni
Kiswahili
haririNomino
haririKiswahili
- Feri - chombo cha usafiri wa maji ambacho hutumika kuvusha watu, magari, na mizigo kutoka upande mmoja wa maji hadi mwingine. Zaidi hutumika hasa katika maeneo yenye mito, maziwa, au bahari.
Mifano ya matumizi
hariri- "Tulivuka mto kwa kutumia pantoni."
- "Pantoni ilijaa watu na magari."
Etimolojia
haririNeno hili linatokana na neno la Kiingereza "pontoon" ambalo lina maana ya chombo kinachoelea juu ya maji kinachotumika kama daraja au kivuko.