Kiswahili hariri

Wikipedia ya Kiswahili ina makala kuhusu:

sw

Nomino hariri

paka

 
Paka
  1. paka mnyama wa nyumbani ambaye hufugwa na binadamu pia hula panya

2. Kuna wanyama mwitu wengi wenye kufanana na jamii ya paka wa majumbani.

3. :Simba na tiger ni paka wakubwa. Kisawe cha neno paka

Tafsiri hariri