Kiswahili hariri

Nomino hariri

kinara (wingi vinara)

  1. mwenyekiti katika idara au kampuni fulani fulani
  2. Kinara, kifaa cha kushikilia mishumaa au balbu kinachotumika kama taa. Menorah ya Kiyahudi ni kinara ya matawi saba au tisa.

Tafsiri hariri