Kiswahili

hariri

Nomino

hariri

kalenda (wingi makalenda)

  1. siku zilizopangwa katika mwezi au mwaka
  2. chombo au kifaa kinachoonyesha mpangilio wa siku, wiki, miezi, na miaka kwa utaratibu maalumu.
  3. Kalenda hutumika kufuatilia tarehe na kupanga matukio au shughuli mbalimbali kulingana na tarehe na muda.

Tafsiri

hariri