aina za fasihi hariri

  1. fasihi simulizi
  2. fasihi andishi

fasihi simulizi hariri

fasihi simulizi ni kazi ya sanaa iliyohifadhiwa na kurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa njia ya mdomo(ni sanaa ya kimapokezi) kama vile hadithi, ngano, maigizo na vitendawili. Fasihi simulizi hutumia ishara ili kupitusha ujumbe kwa wanajamii. Fasihi simulizi uhusisha fanani(mtendaji), utendaji na hadhira.

maigizo au sanaa za maonyesho au michezo hariri

Aina ya neno hariri

Nomino

Umoja hariri

Igizo

Wingi hariri

Maigizo

Ngeli hariri

i-zi(kamusi teule ya kiswahili) li-ya(kamusi ya kuswahili sanifu)

Maana hariri

Tendo la kufanya afanyavyo mwengine. Kuiga maneno au matendo au yote. Maigizo hushirikisha michezo ya kuigiza na maonyesho au maonesho ambayo huigizwa kimyakimya au kwa kusimulia mambo fulani yanayomhusu binadamu. Lengo moja huwa ni kuonesha utamaduni wa jamii fulani. Huweza kutokea mahali popote , wakati wowote bila uwepo na maandalizi ya mapema.

Michezo huweza kuwasilishwa kupitia ushairi wa utendaji wa mambo ya kijamii inayohusisha utumiaji wa viungo vya mwili na maneno kuwasilisha habari.

Maigizo huwa na umbo la tamthilia.

Maneno au/na matendo ya binadamu hutokea kwa wingi katika maigizo na hupewa umuhimu mkubwa.

fasihi andishi hariri

fasihi andishi ni kazi ya sanaa katika maandishi kama vile riwaya na tamthilia.

chanzo cha neno hariri

Kiarabu

aina ya neno hariri

  1. kivumishi
  2. nomino

maana kama kivumishi hariri

-enye lugha safi;-enye kutumia lugha safi na nzuri

Nomino hariri

ngeli hariri

i-zi

maana hariri

  1. funzo la ujuzi wa lugha
  2. somo au funzo au taaluma inayohusu tungo za sanaa au kisanaa kama vile ushairi, riwaya, tamthilia, tenzi, semi, vitendawili, hadithi, ngano, khurafa, maigizo, majigambo, vitanza ndimi, misemo, methali, riwaya na kadhalika.

Tafsiri hariri