Kiswahili

hariri

Nomino

hariri
  1. dandalo nm [i-/zi-] 1 ngoma ya pwani inayochezwa na wanaume wakishika fimbo.
  2. nguzo ndefu.
  Ingizo hili ni sehemu ya mradi wa Kuboresha Wikipedia na Wikamusi ya Kiswahili. Unaweza kusaidia kuihariri na kuongeza maana.