Kiswahili hariri

Kitenzi hariri

chelewa (kitenzijina kuchelewa)

  1. kutokufika kwa wakati uliokubalika

Tafsiri hariri

Nomino hariri

chelewa (wingi machelewa)

  1. hali ya mtu asubuhi baada ya kulewa sana usiku uliotanguliua

Tafsiri hariri