Kiswahili

hariri

Kitenzi

hariri

Kitenzi

bembeleza (msamiati: bembeleza)

  1. Kuzungumza au kufanya kwa upole na upendo ili kumshawishi mtu akufanyie jambo au kitu fulani.
  2. Kutoa maneno ya faraja au ya kuvutia ili kupunguza au kushawishi hisia za mtu.

Visawe

hariri

Mifano

hariri
  1. Mama alimbembeleza mtoto wake kwa upole ili asome vema.
  2. Mshauri alimmbeleza mteja wake achukue bidhaa anazouza.