bembeleza
Kiswahili
haririKitenzi
haririKitenzi
bembeleza (msamiati: bembeleza)
- Kuzungumza au kufanya kwa upole na upendo ili kumshawishi mtu akufanyie jambo au kitu fulani.
- Kutoa maneno ya faraja au ya kuvutia ili kupunguza au kushawishi hisia za mtu.
Visawe
haririMifano
hariri- Mama alimbembeleza mtoto wake kwa upole ili asome vema.
- Mshauri alimmbeleza mteja wake achukue bidhaa anazouza.