Kiswahili

hariri

Nomino

hariri

bembea (msamiati: bembea)

  1. Kitu k.m kiti au ubao unaoning'nizwa kwa kamba au minyororo miwili kwa ajili ya watu hususani watoto kulewalewa ili waburudishe

Mifano

hariri
  1. Watoto wanachezea bembea