Kiswahili hariri

kiunganishi hariri

ama

  1. fanya hili au lile
  2. usemi wa kumchochea msikilizaji atoe maoni yake ya kukubali au kukataa

visawe hariri

  • au
  • sivyo

kitenzi hariri

ama

  1. ongeza kiambato au kitu kinacho husu kingine

visawe hariri

  • ambata