Kiswahili hariri

nomino hariri

alkoholi

  1. kiowevu angavu kinacholewesha kinachopatikana kwenye vinywaji kama vile bia,mvinyo,spiriti au vinywaji vikali kamavile wiski, brandi, gongoo, chang`aa na kadhalika; kileo, pombe
  2. dawa inayotokana na sukari na vitu vyenye sukari vinapochacha