Baada ya kuna ombi la mchangiaji apewe ukabidhi nimeangalia mradi huu kwa mara ya kwanza tangu miaka kadhaa. Kwa jumla naona hali si nzuri. Watu walianza kupeleka maneno mengi kutoka lugha nyingine (kama maneno 560 ya Kiluhya [[(angalia Jamii:Kiluhya]]) , 85 ya Kiluo [[(angalia Jamii:Kijaluo]]Kiluo), mengine ya [[Jamii:Kikikuyu]], makala yasiyofaa kabisa kama [[Amaq News Agency]], neno kutoka Kikurdi [[dibistan]], naona [[Wafrica]]. Sina uhakika jumla ni namna gani. Sijui kama nicheke au nilie. Binafsi naona kazi yangu iko upande wa wikipedia, si hapa. Labda afadhali mradi uwekwe katika hali ya mapumziko hadi mtu anapatikana anayejua kazi na mwenye nia ya kuchungulia yaliyomo kwa jumla. [[User:Kipala|Kipala]] ([[User talk:Kipala|majadiliano]]) 13:08, 12 Novemba 2016 (UTC)