fasihi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 19:
 
Michezo huweza kuwasilishwa kupitia ushairi wa utendaji wa mambo ya kijamii inayohusisha utumiaji wa viungo vya mwili na maneno kuwasilisha habari.
 
Maigizo huwa na umbo la tamthilia.
 
Maneno au/na matendo ya binadamu hutokea kwa wingi katika maigizo na hupewa umuhimu mkubwa.
 
=== fasihi andishi ===