fasihi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 3:
# fasihi andishi
=== fasihi simulizi ===
fasihi simulizi ni kazi ya sanaa iliyohifadhiwa na kurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa njia ya mdomo(ni sanaa ya kimapokezi) kama vile hadithi, ngano, maigizo na vitendawili. Fasihi simulizi hutumia ishara ili kupitusha ujumbe kwa wanajamii. Fasihi simulizi uhusisha fanani(mtendaji), utendaji na hadhira.
==== maigizo au sanaa za maonyesho au michezo ====
===== Aina ya neno =====
Nomino
===== Umoja =====
Igizo
===== Wingi =====
Maigizo
===== Ngeli =====
i-zi(kamusi teule ya kiswahili)
li-ya(kamusi ya kuswahili sanifu)
===== Maana =====
Tendo la kufanya afanyavyo mwengine. Kuiga maneno au matendo au yote.
Maigizo hushirikisha michezo ya kuigiza na maonyesho au maonesho ambayo huigizwa kimyakimya au kwa kusimulia mambo fulani yanayomhusu binadamu. Lengo moja huwa ni kuonesha utamaduni wa jamii fulani. Huweza kutokea mahali popote , wakati wowote bila uwepo na maandalizi ya mapema.
 
Michezo huweza kuwasilishwa kupitia ushairi wa utendaji wa mambo ya kijamii inayohusisha utumiaji wa viungo vya mwili na maneno kuwasilisha habari.
 
=== fasihi andishi ===
fasihi andishi ni kazi ya sanaa katika maandishi kama vile riwaya na tamthilia.