h : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '''h'' ni nomino. Iko katika ngeli ya i-/zi-. Wingi wa ''h'' ni ''h''. Ni herufi ya nane katika alfabeti ya Kiswahili. Hewa huzuiliwa na alasauti inapotamkwa ya...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 14:52, 8 Aprili 2016

h ni nomino. Iko katika ngeli ya i-/zi-. Wingi wa h ni h. Ni herufi ya nane katika alfabeti ya Kiswahili.

Hewa huzuiliwa na alasauti inapotamkwa yaani hewa hukwamizwa au huzuiliwa katika koromeo. Ni kikwamizo.

Inapotamkwa hutoa mlio kama mkwaruzo. Ni kikwaruzo.

Haisababishi kughuna inapotamkwa au haitikisi nyuzisauti inapotamkwa. Sighuna.

Inapotamkwa, hewa toka mapafuni hupitishwa taratibu au polepole.

Inapotamkwa, alasauti hukaribiana sana.

Inapotamkwa,