Kiswahili hariri

 
Asili ya mvua ya asidi

Nomino hariri

Mvua ya Asidi (mvua za asidi)

  1. mvua ambayo huwa imechanganyika na kemikali zenye asidi zilizoko kwenye anga hewa na kufanya maji yake kudhuru mimea na viumbe wa tumiao maji hayo.
  2. Mvua yenye asidi isiyo ya kawaida (pH ya chini ya safu asilia ya 5 hadi 6); husababishwa hasa na uchafuzi wa angahewa na dioksidi sulfuri, dioksidi kaboni na misombo ya nitrojeni.

Tafsiri hariri