demani

(Elekezwa kutoka Demani)

Kiswahili hariri

 
Demani

Nomino hariri

demani (demani)

  1. Sehemu ambayo imekingwa na mlima kutokana na upepo unaovuma kutoka upande wa pili wa mlima na aghalabu hupata mvua chache Mfano. mji wa Nanyuki uko demani mwa Mlima Kenya

Tafsiri hariri